Saturday, August 27, 2016

WAREMBO WATANO WA ILALA WENYE VIPAJI

Hawa ndio warembo watano wenye vipaji ambavyo mshindi kati ya hawa atatangazwa siku ya fainali ya kumpata mrembo wa Ilala kwa mwaka 2016 katika ukumbi wa Hotel ya Nyota tano Hyatt Regency-Kilimanjaro Hotel kwa kiingilio cha Tshs.100,000 kwa viti maalum na Tshs 50,000 kwa viti vya kawaida, pia kutakua na burudani mbalimbali.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.